Page 2 sur 8

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 13:55
par Rebirth
Mayloshi-forever a écrit :Hors sujet,

Rebirth, sais - tu que tuko na pikana leo, mweye na shiye? (Mazembe vs Lupopo)
Je suis au courant mon vher. balances-moi ma commentaire ya ile match ata pa facebook please!
ya leo amutatoneya kiekiekiekie.

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 14:17
par TUPAC MOUDJAHIDINE
:D :lupopo: :lupopo: :lupopo: :bravo: :bravo: TAMUNDELE NA BISOEEEEE

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 14:44
par Pichen
Mi-temps et but d'Ekanga à la 48ème minute
Tp Mazembe 1-Lumpa 0

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 14:56
par Le grand Muswahili
Rebirth a écrit :Le trio arbitrale egyptien qui a officie le match opposant le T.P Mazembe au SC Simba. vient de depose une plainte contre le host pour tentative de corruption et menace de mort contre le trio au cas ou ces derniers deposaient une plainte contre le tout puissant mazembe a la C.A.F.

http://www.kickoff.com/news/21090/alleg ... eferee.php
C'est c qu'on appelle en Swahili"Ushindi wa Mezani"

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 15:36
par Kansebu
....
Ca sent une conspiration !!!!
Quel interet TP Mazembe aurait de corrompre les arbitres contre cette faible équipe de Tanzanie, laquelle meme l'équipe "C" de TP Mazembe peut aisement battre ...
Que TP Mazembe contre-attaque pour faire la lumiere sur cette affaire qui semble cousue de fil blanc ... et remonter jusqu'aux cerveaux de cette conspiration !!!! :evil: :evil: :evil: :evil: ...
Pour les Ndibu, c'est toujours la faute des autres .....

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 06 avr. 2011, 18:17
par Le grand Muswahili
CAF kuifungia TP Mazembe Simba kucheza na Morocco :o
:haha: :haha: Ba tanzaniens mpe bazo zela Forfait po babeta na Wac du Maroc :haha: balobi ke bazozela avec Impatience la Reunion de la CAF qui s tiendra a ici a Johanesbourg :D Nzambe sunga bisoeeee :haha: :haha:

Kipa wa Simba Juma Kaseja akiziba mdomo kwa lengo la kutotaka kuzungumza na waandishi wa habari baada ya timu yake kufungwa na TP Mazembe bao 3-2 kwenye uwanja wa taifa jijini dare s Salaam juzi jumapili /Picha na Jackson Odoyo.

TIMU YA MWANASPOTI
KUNA uwezekano wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuifungia TP Mazembe kwa miaka mitatu na kufuta matokeo ya mechi zake dhidi ya Simba.

Iwapo Kamati ya Nidhamu ya CAF ambayo inakutana mwezi huu jijini Johannesburg, Afrika Kusini ikiridhishwa na ushahidi kuwa TP Mazembe walitaka kutoa rushwa kwa waamuzi mjini Lubumbashi, basi Simba itasonga mbele kwa ushindi wa mezani na kucheza na Widad de Casablanca ya Morocco iliyoitoa mashindanoni Kano Pillars ya Nigeria kwa ushindi wa mabao 2-0 nyumbani baada ya kutoka suluhu mechi ya kwanza.


Ripoti ya waamuzi CAF
Ofisa wa CAF, amekiri kuwa waamuzi wanne wa Misri wameripoti katika shirikisho hilo mjini Cairo kuwa walitishiwa kuuawa baada ya kukataa rushwa ya dola 10,000 (Sh. milioni 15) kutoka kwa TP Mazembe.

Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Ahram la Misri, waamuzi hao wa Misri waliripoti CAF kuhusu tukio hilo, baada ya mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ambayo Simba walifungwa mabao 3-1 mjini Lubumbashi Machi 20.

�Waamuzi wa Misri; Yasser Abdel-Raouf, Ayman Deguesh, Tamer Salah na Fahim Omar walikabidhi ripoti CAF ambayo inaonyesha kuwa walitaka kuhongwa dola 10,000 ili kuipendelea TP Mazembe katika mechi dhidi ya Simba," ofisa wa CAF aliiambia Ahram.

Hali ilikuwa mbaya zaidi baada ya waamuzi hao kuikataa rushwa hiyo kwani walitishiwa kuuawa iwapo wangeandika tukio hilo katika ripoti zao. Waamuzi hao hawakuripoti tukio hilo mpaka waliporejea Cairo.

Kwa mujibu wa kanuni za CAF, waamuzi huwa wanatuma ripoti mbili; ripoti ya kwanza ni ya haraka ambayo hutakiwa kutuma matokeo ya mechi, kadi na mambo mengine ya uwanjani. Ripoti hii hutakiwa kutumwa CAF ndani ya saa tatu.

Lakini ripoti ya matukio yote hutakiwa kutumwa CAF katika kipindi kisichozidi siku 14 na hilo ndilo walilofanya wamuzi hao wa Misri.

Kamati ya Nidhamu CAF
Kamati ya Nidhamu ya CAF inatarajiwa kukutana mwezi huu jijini Johannesburg, kujadili ripoti ya waamuzi kuhusu vurugu zilizojitokeza katika mechi kati ya Zamalek ya Misri na Club Africain ya Tunisia Jumamosi iliyopita na kuvunja pambano dakika za mwisho.

Haijajulikana kama ripoti ya waamuzi kutaka kuhongwa na TP mazembe nayo itajadiliwa au la.

Hata hivyo, ikiwa itajadiliwa na Mazembe wakaonekana kuwa na hatia ya kuwahonga waamuzi, ambayo ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni za mashindano, basi kuna uwezekano mkubwa wa timu hiyo kunyang�anywa ushindi na kupewa Simba.

Kanuni za CAF
Mbali ya kunyang�anywa ushindi kwa mujibu wa Ibara ya 24 (2) ya Kanuni za Mashindano za CAF, Mazembe inaweza kufungiwa kutoshiriki mashindano yoyote ya shirikisho hilo kwa kipindi cha miaka mitatu.

Timu ambayo hupatikana na tuhuma za rushwa katika hatua ya awali hufungiwa miaka miwili, lakini tuhuma zinazohusu raundi ya kwanza mpaka fainali adhabu yake huwa kufungiwa miaka mitatu na timu pinzani hupewa ushindi wa mezani.

Vile vile, maofisa wa Mazembe wakipatikana na hatia ya kutaka kuhonga waamuzi ama kujihusisha na rushwa kama inavyodaiwa, wanaweza kufungiwa maisha kujihusisha na soka.

Ikiwa Mazembe itaondolewa, hiyo itakuwa tijara ya Simba kusonga mbele katika raundi ya pili, ambako itakutana na Widad de Casablanca ya Morocco iliyoitoa mashindanoni Kano Pillars ya Nigeria kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-0.

Yaliwakuta Yanga
Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa CAF kushusha rungu kwa timu na maofisa wanaojihusisha na vitendo vya rushwa michezoni, ambavyo vimekuwa chanzo kikubwa cha kupunguza ushindani.

Mabingwa mara 22 wa Tanzania, Yanga, waliwahi kukumbwa na rungu hilo mwaka 1984 ilipofungiwa kwa miaka miwili kushiriki mashindano hayo baada ya kuthibitika kwamba walitaka kuwahonga waamuzi wa mechi yao ya kwanza ya raundi ya kwanza ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Gor Mahia ya Kenya Aprili 7, ambayo ilikwisha kwa sare ya 1-1. Ziliporudiana Nairobi Aprili 28 Yanga ikalala kwa 2-1.

Ilielezwa kwamba, viongozi wawili wa Yanga � Julius Rutahinurwa na Issa Makongoro, walitaka kuwahonga waamuzi kutoka Ethiopia waliokuja kuchezea mechi hiyo jijini Dar es Salaam, lakini waamuzi hao wakakataa.

CAF pia ikaamua kuwafungiwa wawili hao maisha wasijihusishe na mchezo wa soka, adhabu ambayo ingali inaendelea mpaka sasa huku Yanga ikifungiwa miaka miwili.

Gor Mahia nayo ilifungiwa kutokana na wachezaji wake kumpiga mwamuzi wakati ilipocheza na Zamalek huko Cairo, Misri katika mchezo wa raundi ya pili ya Klabu Bingwa Afrika, huku wachezaji wake sita wakifungiwa kwa mwaka mmoja na Katibu Mkuu wa KFF naye akifungiwa kwa miaka miwili kutokana na kutuma teleksi kulikashfu shirikisho hilo kwa kuiadhibu Gor Mahia.

Mwenyekiti wa FAT wa wakati huo, Said Hamad El-Maamry, ambaye alikuwa pia Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF alisema kwamba kufungiwa kwa Yanga na Gor Mahia ni halali kwa sababu hongo ni kosa kubwa linalopigwa vita katika mchezo wa kandanda duniani.

Marseille ya Ufaransa
Matukio ya rushwa na kupanga matokeo kwenye mechi za soka hayajatokea Afrika pekee, bali hata Ulaya na Amerika, ambapo timu kadhaa zimepata kuvuliwa ubingwa wa Ligi au Bara husika baada ya kuthibitika kwamba kulikuwa na hila ndani yake.

Kashfa kubwa ya kwanza ya upangaji matokeo barani Ulaya ilimkumbwa Rais wa Olympique de Marseille ya Ufaransa, Bernard Tapie mwaka 1993.

Itakumbukwa kwamba Marseille, iliyokuwa chini ya nahodha Didier Deschamps, mwaka 1992/93 ilikuwa imetwaa taji la Ligue 1 na Klabu Bingwa ya Ulaya.

Hata hivyo, siri ilifichuka baadaye mwaka huo wa 1993 wakati klabu ya Union Sportive Valenciennes-Anzin ilipotangaza kwamba, wachezaji wake Jacques Glassmann, Jorge Burruchaga na Christophe Robert walikuwa wamefuatwa na mchezaji wa Marseille Jean-Jacques Eydelie, ili kuiachia Marseille ishinde mechi yao ya Ligi.

Zaidi ya yote, Valenciennes walitakiwa wasimuumize mchezaji yeyote wa Marseille ambayo ilikuwa inajiandaa kwa ajili ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya AC Milan mjini Munich, ambako ilishinda kwa bao la Basile Boli na kuifanya kuwa klabu ya kwanza ya Ufaransa kutwaa taji hilo.

Baada ya kuthibitika madai hayo, uamuzi uliofikiwa ni kwa Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) kuivua ubingwa wa ligi wa 1992/93 na kuishusha hadi daraja la pili huku Uefa ikiifungiwa kushiriki kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya 1993/94 pamoja na kutoshiriki kwenye Super Cup na Kombe la Mabara 1993.

Timu hiyo ilisota kwa miaka miwili kabla ya kupanda daraja la kwanza, na imeichukua miaka 18 hadi ilipotwaa ubingwa wa Ufaransa msimu uliopita ikiwa chini ya kocha Deschamps aliyekuwa nahodha wake mwaka 1992/93 wakati wa skendo hiyo.

Rushwa ya Juventus Italia
Kashfa kubwa kabisa ya upangaji matokeo barani Ulaya ni ile iliyotokea mwaka 2006 nchini Italia ikihusisha klabu za Ligi ya Serie A na Serie B baada ya kufichuliwa na polisi zikiihusisha klabu bingwa ya nchi hiyo Juventus na klabu za AC Milan, Fiorentina, Lazio, na Reggina baada ya kunasa mtandao wa mawasiliano ya simu baina ya makocha na waamuzi wa mechi zao.

Timu hizo zilidaiwa kwamba zilikuwa zikipanga ama kuchagua waamuzi zilizowapenda kwa kupanga njama na chama cha waamuzi, ambapo mawasiliano ya kwanza yalionyesha kwamba Meneja Mkuu wa Juventus, Luciano Moggi alikuwa akiwasiliana na maofisa wa soka katika upangaji wa waamuzi waliowataka wao.

Julai 4, 2006 mwendesha mashitaka wa Shirikisho la Soka la Italia, Stefano Palazzi, aliagiza klabu zote zilizohusika na upangaji wa matokeo ziondolewe kwenye Serie A, huku akitaka Juventus ishushwe hadi Serie C na kuagiza adhabu ya kunyang�anywa pointi itumike pia.

Mambo mabaya Brazil
Mwezi Septemba 2005 jarida la soka ya Brazil liliandika kwamba waamuzi wawili, Ed�lson Pereira de Carvalho (mjumbe wa kamati ya waamuzi ya Fifa) na Paulo Jos� Danelon, walikuwa wamepokea rushwa ili wapange matokeo katika mechi walizotakiwa kuchezesha.

Baada ya taarifa hiyo, mamlaka za michezo zikaamuru kurudiwa kwa mechi zote 11 za Ligi Kuu ya Brazil, ambazo zilichezeshwa na Ed�lson.

Waamuzi wote walifungiwa maisha kujihusisha na soka na wanakabiliwa na mashitaka ya jinai.

Mashabiki wa soka nchini Brazil kwa sasa wamekuwa wakimwita �Edilson� mwamuzi yeyote anayeboronga ama kuipendelea timu pinzani, wakiwa wanaihusisha kashfa hiyo ya upangaji matokeo.
TP Mazembe
Duru za michezo zinasema kwamba, ikiwa TP Mazembe itabainika kutaka kuwahonga waamuzi hao, basi adhabu iliyofafanuliwa kwenye kanuni hizo za CAF huenda itatumika na hiyo itakuwa faida kwa Simba itakayosonga mbele kwa �ushindi wa chee� huku Mazembe ikipigwa 'mvua tatu'.

Hata hivyo, uongozi wa timu ya TP Mazembe umepuuzia madai ya kutaka kuhonga na kutishiwa maisha waamuzi kutoka Misri.
Mkuu wa Itifaki wa timu hiyo, Claude Bushiri alisema juzi Jumapili kuwa madai yaliyotolewa na waamuzi hao waliochezesha mechi ya kwanza dhidi ya Simba wiki mbili zilizopita ndiyo kwanza wameyasikia nchini Tanzania na hawana barua au taarifa yoyote.

�Hizo habari gani tena jamani, ni za kuzusha kabisa, kama unavyojua, TP Mazembe ni mabingwa wa Afrika mara mbili na mabingwa wa pili wa dunia, je, hayo mafanikio yamepatikana vipi, tumeweza kufanya vyema mara nyingi na kuweka historia, kwa nini tuhonge waamuzi wakati wachezaji wetu ni wazuri,� alisema Bushiri.

http://www.mwanaspoti.co.tz/wcreadnews.php?id=6352

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 07 avr. 2011, 12:16
par BXL
Mayloshi-forever a écrit :
signe a écrit :
Rebirth a écrit :En attendant le T.P.M court le risque d' etre ecarter des competitions africaines pour au moins trois ans.
IL FAUT DES PREUVES, ON NE CONDAMNE PAS SUR BASE DES RUMEURS. SINON ALORS IL FAUT TOTALELA ISSAYATOU BIEN.
C'est ce que j'ai sous-entendu en parlant d'enquête. Est ce normal de corrompre à Lubum des arbitres, de surcroit EGYPTIENS, pour un match face à une équipe moins forte? Qu'ils menent une enquete, question qu'on y voie plus clair. On voit bien que les mahgrébiens sont TRES nombreux. Il y en a meme sur ce forum, parce qu'ils semblent se réjouir à chaque fois qu'il y a une mauvaise nouvelle sur Mazembe. kié kié kié kié!
Une nouvelle qui va rejouir Mohammed EL CHIDAP ;) ;) ;)

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 07 avr. 2011, 13:05
par Erka
Toute compagnie qui se respecte est en mesure de fournir la liste de tous ses employés avec leur statut.

Ceux qui ont soit disant rencontré ces arbitres Égyptiens font-ils parti de la liste des employés de Mazembe? Si c’était le cas, ont-ils été officiellement ou officieusement mandaté par la direction de Mazembe pour agir de la sorte? Sont-ils eux-mêmes la direction de Mazembe?

Histoire vraie ou conspiration nord-africaine, la FECOFA devrait dès à présent songer à enfermer dans les hôtels sous escorte policière tout arbitre étranger appelé à officier un match en RDC. Il en va de la crédibilité du foot congolais et de Mazembe.

Quelque chose me dit que nous avons à faire face une histoire montée de toute pièce. Avant c’était un arbitre corrompu, logé dans un hôtel avec plusieurs femmes, saoul durant la finale aller (Il a quand même couru durant plus de 90 minutes…il faut le faire.). Aujourd’hui, 1er match de Mazembe à L’Shi face à une faible équipe, arbitre venant d’Égypte et tentative de corruption. Cela me rappelle l’épisode Mputu avant Mazembe-Espérance en aout 2010.

Ces arbitres terrorisés par les pseudos corrupteurs ont décidé de parler qu’une fois au Caire….Curieux tout ceci.

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 07 avr. 2011, 13:43
par dcmp23
hey , mayi eninganaka pamba té hi hi hihi :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o

wait and see

Re: T.P. Mazembe: Innoncent ou coupable?

Posté : 07 avr. 2011, 14:36
par kompany
dcmp23 a écrit :hey , mayi eninganaka pamba té hi hi hihi :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o :o

wait and see
j'allais dire la meme chose :? il n'ya pas de fumée sans feu :shock: moise katumbi est obsedé par une 3ème victoire en ligue des champions :? :? ...il ne reve que de ça :shock: au point de ne pas vouloir libérer ses meilleurs joueurs :evil: :evil: :evil:

la corruption ds le football existe bel et bien 8-) en 1993 l'olympic de marseille était aussi largement plus fort que valenciennes :? :?